登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Mu'minun 23:88

23:88
قل من بيده ملكوت كل شيء وهو يجير ولا يجار عليه ان كنتم تعلمون ٨٨
قُلْ مَنۢ بِيَدِهِۦ مَلَكُوتُ كُلِّ شَىْءٍۢ وَهُوَ يُجِيرُ وَلَا يُجَارُ عَلَيْهِ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ ٨٨
قُلۡ
مَنۢ
بِيَدِهِۦ
مَلَكُوتُ
كُلِّ
شَيۡءٖ
وَهُوَ
يُجِيرُ
وَلَا
يُجَارُ
عَلَيۡهِ
إِن
كُنتُمۡ
تَعۡلَمُونَ
٨٨
你说:万物的主权,在谁的掌握之中?谁能保护众生,而他自己不受保护呢?如果你们知道。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Sema, «Ni nani mmiliki wa kila kitu? Na ni nani Ambaye mkononi Mwake kuna hazina za kila kitu? Na ni nani Anayempa himaya mwenye kutaka himaya Yake, ambapo hakuna anayeweza kumhami na kumlinda yule ambaye Mwenyezi Mungu Anataka kumuangamiza wala hakuna anayekinga shari Aliyoikadiria Mwenyezi Mungu, iwapo mnalijua hilo?»