登入
登入
登入
选择语言

经注: As-Saf 61:4

61:4
ان الله يحب الذين يقاتلون في سبيله صفا كانهم بنيان مرصوص ٤
إِنَّ ٱللَّهَ يُحِبُّ ٱلَّذِينَ يُقَـٰتِلُونَ فِى سَبِيلِهِۦ صَفًّۭا كَأَنَّهُم بُنْيَـٰنٌۭ مَّرْصُوصٌۭ ٤
إِنَّ
ٱللَّهَ
يُحِبُّ
ٱلَّذِينَ
يُقَٰتِلُونَ
فِي
سَبِيلِهِۦ
صَفّٗا
كَأَنَّهُم
بُنۡيَٰنٞ
مَّرۡصُوصٞ
٤
真主的确喜爱那等人;他们为他而列阵作战,好像坚实的墙壁一样。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hakika Mwenyezi Mungu Anawapenda wale wanaopigana katika njia Yake wakiwa wamejipanga kama kwamba wao ni jengo lililopangika na kuimarika kwa namna ya kutoweza adui kupenyeza kupitia jengo hilo. Katika aya hii pana maelezo ya ubora wa jihadi na wenye kupigana jihadi, kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kila upungufu, Anawapenda waja Wake Waumini wanapojipanga kupambana na maadui wa Mwenyezi Mungu.