登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Ahzab 33:42

33:42
وسبحوه بكرة واصيلا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ بُكْرَةًۭ وَأَصِيلًا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ
بُكۡرَةٗ
وَأَصِيلًا
٤٢
你们应当朝夕赞颂他超绝万物。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Na zishughulisheni nyakati zenu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, asubuhi na jioni, baada ya Swala za faradhi na nyakati za matukio maalumu na sababu, kwani huko kumtaja Mwenyezi Mungu ni ibada iliowekwa na Sheria, inapelekea kwenye mapenzi ya Mwenyezi Mungu na kujizuia na madhambi, na inasaidia kila kheri.