登入
登入
登入
选择语言

经注: An-Nisa 4:143

4:143
مذبذبين بين ذالك لا الى هاولاء ولا الى هاولاء ومن يضلل الله فلن تجد له سبيلا ١٤٣
مُّذَبْذَبِينَ بَيْنَ ذَٰلِكَ لَآ إِلَىٰ هَـٰٓؤُلَآءِ وَلَآ إِلَىٰ هَـٰٓؤُلَآءِ ۚ وَمَن يُضْلِلِ ٱللَّهُ فَلَن تَجِدَ لَهُۥ سَبِيلًۭا ١٤٣
مُّذَبۡذَبِينَ
بَيۡنَ
ذَٰلِكَ
لَآ
إِلَىٰ
هَٰٓؤُلَآءِ
وَلَآ
إِلَىٰ
هَٰٓؤُلَآءِۚ
وَمَن
يُضۡلِلِ
ٱللَّهُ
فَلَن
تَجِدَ
لَهُۥ
سَبِيلٗا
١٤٣
他们动摇于信道与不信道之间,既不归这等人,也不归那等人。 真主使谁 迷误,你绝不能替谁发现一条归正的道路。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hali ya hawa wanafiki ni kutokuwa na msimamo, kuchangayikiwa na kubabaika, hawathibiti kwenye hali moja, hawako pamoja na Waumini wala hawako pamoja na makafiri. Na yoyote ambaye Mwenyezi Mungu Ameupotoa moyo wake usimuamini na usishikamane na uongofu Wake, huyo hutampatia njia ya kufikia uongofu na yakini.