登入
登入
登入
选择语言

经注: At-Tawbah 9:92

9:92
ولا على الذين اذا ما اتوك لتحملهم قلت لا اجد ما احملكم عليه تولوا واعينهم تفيض من الدمع حزنا الا يجدوا ما ينفقون ٩٢
وَلَا عَلَى ٱلَّذِينَ إِذَا مَآ أَتَوْكَ لِتَحْمِلَهُمْ قُلْتَ لَآ أَجِدُ مَآ أَحْمِلُكُمْ عَلَيْهِ تَوَلَّوا۟ وَّأَعْيُنُهُمْ تَفِيضُ مِنَ ٱلدَّمْعِ حَزَنًا أَلَّا يَجِدُوا۟ مَا يُنفِقُونَ ٩٢
وَلَا
عَلَى
ٱلَّذِينَ
إِذَا
مَآ
أَتَوۡكَ
لِتَحۡمِلَهُمۡ
قُلۡتَ
لَآ
أَجِدُ
مَآ
أَحۡمِلُكُمۡ
عَلَيۡهِ
تَوَلَّواْ
وَّأَعۡيُنُهُمۡ
تَفِيضُ
مِنَ
ٱلدَّمۡعِ
حَزَنًا
أَلَّا
يَجِدُواْ
مَا
يُنفِقُونَ
٩٢
那等人也是无可非难的,当他们来请求你以牲口供给他们(出征)的时候,你说:我没有牲口供给你们。他们就挥泪而去,他们因为不能自筹旅费而悲伤。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Pia hapana makosa kwa wale ambao wakikujia kutaka uwasaidie kuwachukua kwenda kwenye jihadi, unawaambia, «Sina wanyama wa mimi kuwapatia muwapande», hapo wakakuacha na kugeuka kwenda zao, na macho yao yanabubujika machozi kwa masikitiko ya kukosa utukufu wa jihadi na thawabu zake kwa kuwa hawakupata cha kutumia na cha kuwabeba lau walitoka kwenda kupigana jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu.