登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Qasas 28:41

28:41
وجعلناهم ايمة يدعون الى النار ويوم القيامة لا ينصرون ٤١
وَجَعَلْنَـٰهُمْ أَئِمَّةًۭ يَدْعُونَ إِلَى ٱلنَّارِ ۖ وَيَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ لَا يُنصَرُونَ ٤١
وَجَعَلۡنَٰهُمۡ
أَئِمَّةٗ
يَدۡعُونَ
إِلَى
ٱلنَّارِۖ
وَيَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
لَا
يُنصَرُونَ
٤١
我以他们为召人于火狱的罪魁,复活日,他们将不获援助。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo.