登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Hajj 22:32

22:32
ذالك ومن يعظم شعاير الله فانها من تقوى القلوب ٣٢
ذَٰلِكَ وَمَن يُعَظِّمْ شَعَـٰٓئِرَ ٱللَّهِ فَإِنَّهَا مِن تَقْوَى ٱلْقُلُوبِ ٣٢
ذَٰلِكَۖ
وَمَن
يُعَظِّمۡ
شَعَٰٓئِرَ
ٱللَّهِ
فَإِنَّهَا
مِن
تَقۡوَى
ٱلۡقُلُوبِ
٣٢
事情就是这样的,谁尊敬真主的标识,那是心中的虔诚发出的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hayo ndiyo Aliyoyaamrisha Mwenyezi Mungu ya kumpwekesha na kumtakasia ibada. Na yoyote mwenye kutekeleza amri ya Mwenyezi Mungu na akayatukuza mambo makubwa ya Dini, na miongoni mwayo ni matendo ya Hija na sehemu zake na wanyama wanaochinjwa huko, kwa kuchagua walio wazuri na walio wanono, basi kutukuza huko ni katika vitendo vya wenye nyoyo zenye kusifika kwa kumcha Mwenyezi Mungu na kumuogopa.