登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Hajj 22:75

22:75
الله يصطفي من الملايكة رسلا ومن الناس ان الله سميع بصير ٧٥
ٱللَّهُ يَصْطَفِى مِنَ ٱلْمَلَـٰٓئِكَةِ رُسُلًۭا وَمِنَ ٱلنَّاسِ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌۢ بَصِيرٌۭ ٧٥
ٱللَّهُ
يَصۡطَفِي
مِنَ
ٱلۡمَلَٰٓئِكَةِ
رُسُلٗا
وَمِنَ
ٱلنَّاسِۚ
إِنَّ
ٱللَّهَ
سَمِيعُۢ
بَصِيرٞ
٧٥
真主从天神中,于人类中拣选若干使者,真主确是全聪的,确是全明的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, Anateua, miongoni mwa Malaika, wajumbe kuwatuma kwa Manabii Wake, na Anateua kutokana na watu, wajumbe wakufikisha jumbe Zake kwa viumbe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia maneno ya waja Wake, Mwenye kuviona vitu vyote na yule anayemteua kwa utume miongoni mwa viumbe Wake. Na Yeye, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake,