登入
登入
登入
选择语言

经注: At-Talaq 65:9

65:9
فذاقت وبال امرها وكان عاقبة امرها خسرا ٩
فَذَاقَتْ وَبَالَ أَمْرِهَا وَكَانَ عَـٰقِبَةُ أَمْرِهَا خُسْرًا ٩
فَذَاقَتۡ
وَبَالَ
أَمۡرِهَا
وَكَانَ
عَٰقِبَةُ
أَمۡرِهَا
خُسۡرًا
٩
他们将尝试他们行为的恶果,他们的行为的结局是亏折的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
tukawahesabu juu ya matendo yao duniani hesabu kali mno na tukawaadhibu adhabu kubwa na mbaya, wakauonja mwisho mbaya wa ujeuri wao na ukafiri wao, na mwisho wa ukafiri wao ulikuwa ni maangamivu na hasara, hapana hasara nyingine baada ya hiyo.