登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Qalam 68:34

68:34
ان للمتقين عند ربهم جنات النعيم ٣٤
إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمْ جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ ٣٤
إِنَّ
لِلۡمُتَّقِينَ
عِندَ
رَبِّهِمۡ
جَنَّٰتِ
ٱلنَّعِيمِ
٣٤
敬畏的人们,在他们的主那里,必将享受恩泽的乐园。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hakika wale waliojikinga na mateso ya Mwenyezi Mungu kwa kufanya yale Aliyowaamrisha na kuacha yale Aliyoyakataza, watapata kwa Mola wao huko Akhera, mabustani ya Peponi ambayo ndani yake kuna starehe za daima.