登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Qalam 68:44

68:44
فذرني ومن يكذب بهاذا الحديث سنستدرجهم من حيث لا يعلمون ٤٤
فَذَرْنِى وَمَن يُكَذِّبُ بِهَـٰذَا ٱلْحَدِيثِ ۖ سَنَسْتَدْرِجُهُم مِّنْ حَيْثُ لَا يَعْلَمُونَ ٤٤
فَذَرۡنِي
وَمَن
يُكَذِّبُ
بِهَٰذَا
ٱلۡحَدِيثِۖ
سَنَسۡتَدۡرِجُهُم
مِّنۡ
حَيۡثُ
لَا
يَعۡلَمُونَ
٤٤
你让我惩治否认这训辞的人吧!我将使他们不知不觉地渐趋於毁灭。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Basi, niache, ewe Mtume, na wale wanaoikanusha hii Qur’ani! Ni juu yangu kuwalipa na kuwatesa. Tutawanyoshea mambo yao kwa kuwapa mali, watoto na neema nyiginezo kwa njia ya kuwavutavuta kwa namna ya wao kutofahamu kuwa hiyo ndiyo njia ya kuwaangamiza.