登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Ma'idah 5:34

5:34
الا الذين تابوا من قبل ان تقدروا عليهم فاعلموا ان الله غفور رحيم ٣٤
إِلَّا ٱلَّذِينَ تَابُوا۟ مِن قَبْلِ أَن تَقْدِرُوا۟ عَلَيْهِمْ ۖ فَٱعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۭ ٣٤
إِلَّا
ٱلَّذِينَ
تَابُواْ
مِن
قَبۡلِ
أَن
تَقۡدِرُواْ
عَلَيۡهِمۡۖ
فَٱعۡلَمُوٓاْ
أَنَّ
ٱللَّهَ
غَفُورٞ
رَّحِيمٞ
٣٤
惟在你们能惩罚他们之前已经悔罪的人,你们须知真主对于他们是至赦的,是至慈的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Lakini atakayekuja kati ya wale wanaopiga vita kabla hamjawatia mkononi na akaja akiwa mtiifu mwenye majuto, atafutiwa yale yaliyokuwa ni haki ya Mwenyezi Mungu. Na jueni, enyi Waumini, kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha kwa waja Wake, ni Mwenye kuwarehemu.