登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Fath 48:7

48:7
ولله جنود السماوات والارض وكان الله عزيزا حكيما ٧
وَلِلَّهِ جُنُودُ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا ٧
وَلِلَّهِ
جُنُودُ
ٱلسَّمَٰوَٰتِ
وَٱلۡأَرۡضِۚ
وَكَانَ
ٱللَّهُ
عَزِيزًا
حَكِيمًا
٧
天地的军队,只是真主的。真主是万能的,是至睿的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Na Mwenyezi Mungu, Alyetakasika na kutukuka, Ana askari wa mbinguni na ardhini. Anawanusuru kwa askari hao waja Wake Waumini. Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi Mwenye uweza juu viumbe Vyake, ni Mwingi wa hekima katika kuendesha mambo yao.