登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-A'raf 7:192

7:192
ولا يستطيعون لهم نصرا ولا انفسهم ينصرون ١٩٢
وَلَا يَسْتَطِيعُونَ لَهُمْ نَصْرًۭا وَلَآ أَنفُسَهُمْ يَنصُرُونَ ١٩٢
وَلَا
يَسۡتَطِيعُونَ
لَهُمۡ
نَصۡرٗا
وَلَآ
أَنفُسَهُمۡ
يَنصُرُونَ
١٩٢
那些东西不能助人,也不能自助。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Wala hawawezi kuwanusuru wenye kuwaabudu au kuzilinda nafsi zao na ubaya. Iwapo wao hawaumbi kitu, bali wao wameumbwa na hawawezi kuwalinda wanaowaabudu, wasipatikane na mambo wanayoyachukia, wala kuzilinda nafsi zao. Basi vipi wanafanywa ni waungu? Huu haukuwa isipokuwa ni upeo wa udhalimu na upeo wa uchache wa akili.