登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-A'raf 7:25

7:25
قال فيها تحيون وفيها تموتون ومنها تخرجون ٢٥
قَالَ فِيهَا تَحْيَوْنَ وَفِيهَا تَمُوتُونَ وَمِنْهَا تُخْرَجُونَ ٢٥
قَالَ
فِيهَا
تَحۡيَوۡنَ
وَفِيهَا
تَمُوتُونَ
وَمِنۡهَا
تُخۡرَجُونَ
٢٥
主说:你们将在大地上生活,将在大地上死亡,将从地下被取出来。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Mwenyezi Mngu, Aliyetukuka, Akasema kumwambia Ādam, Ḥawwā’ na kizazi chao, «Huko ardhini mtaishi, yaani mtapitisha siku za uhai wenu duniani, na huko kitakuwa kifo chenu, na kutoka huko Mola wenu atawatoa na awakusanye mkiwa hai Siku ya Ufufuzi.»