登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-A'raf 7:3

7:3
اتبعوا ما انزل اليكم من ربكم ولا تتبعوا من دونه اولياء قليلا ما تذكرون ٣
ٱتَّبِعُوا۟ مَآ أُنزِلَ إِلَيْكُم مِّن رَّبِّكُمْ وَلَا تَتَّبِعُوا۟ مِن دُونِهِۦٓ أَوْلِيَآءَ ۗ قَلِيلًۭا مَّا تَذَكَّرُونَ ٣
ٱتَّبِعُواْ
مَآ
أُنزِلَ
إِلَيۡكُم
مِّن
رَّبِّكُمۡ
وَلَا
تَتَّبِعُواْ
مِن
دُونِهِۦٓ
أَوۡلِيَآءَۗ
قَلِيلٗا
مَّا
تَذَكَّرُونَ
٣
你们当遵循从你们的主降示的经典,你们不要舍真主而顺从许多保佑者。你们很少觉悟。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Yafuateni, enyi watu, hayo yaliyoteremshwa kutoka kwa Mola wenu miongoni mwa Qur’ani na Sunnah(mafundisho ya Mtume) kwa kufuata maamrisho na kuepuka makatazo Na wala msiwafuate wategemewa badala ya Mwenyezi Mungu, kama mashetani na wasomi wa Kiyahudi na watawa wa Kinaswara. Hakika nyinyi ni mara chache mnapowaidhika na kuzingatia na mkarudi kwenye haki.