登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-A'raf 7:98

7:98
اوامن اهل القرى ان ياتيهم باسنا ضحى وهم يلعبون ٩٨
أَوَأَمِنَ أَهْلُ ٱلْقُرَىٰٓ أَن يَأْتِيَهُم بَأْسُنَا ضُحًۭى وَهُمْ يَلْعَبُونَ ٩٨
أَوَأَمِنَ
أَهۡلُ
ٱلۡقُرَىٰٓ
أَن
يَأۡتِيَهُم
بَأۡسُنَا
ضُحٗى
وَهُمۡ
يَلۡعَبُونَ
٩٨
各城市的居民难道不怕我的刑罚,在上午,当他们在游戏的时候降临他们吗?
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Au kwani wanajiaminisha watu wa mijini kuwa wamesalimika na adhabu ya Mwenyezi Mungu kuwa haitawafika kipindi cha mchana wakiwa wameghafilika, wameshughulika na mambo ya dunia yao? Mwenyezi Mungu Amezihusu nyakati mbili hizi kwa kuzitaja, kwa kuwa mwanadamu nyakati hizi huwa wameghafilika zaidi, kwa hivyo kuja adhabu katika nyakati hizi huwa na kitisho zaidi na ni kali zaidi.