登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-A'raf 7:99

7:99
افامنوا مكر الله فلا يامن مكر الله الا القوم الخاسرون ٩٩
أَفَأَمِنُوا۟ مَكْرَ ٱللَّهِ ۚ فَلَا يَأْمَنُ مَكْرَ ٱللَّهِ إِلَّا ٱلْقَوْمُ ٱلْخَـٰسِرُونَ ٩٩
أَفَأَمِنُواْ
مَكۡرَ
ٱللَّهِۚ
فَلَا
يَأۡمَنُ
مَكۡرَ
ٱللَّهِ
إِلَّا
ٱلۡقَوۡمُ
ٱلۡخَٰسِرُونَ
٩٩
难道他们不怕真主的计谋吗?只有亏折的民众才不怕真主的计谋。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Je, wamejiaminisha, watu wa miji iliyokanusha, na vitimbi vya Mwenyezi Mungu kwao na kuwapa Kwake wao muhula, kwa kuwaachilia na yale Aliyowaneemesha nayo katika dunia yao, kwa njia ya kuwatesa sababu ya vitimbi vyao? Basi hawajiaminishi na vitimbi vya Mwenyezi Mungu isipokuwa watu wenye kuangamia.