Al-Muuminun 23:90 بل اتيناهم بالحق وانهم لكاذبون ٩٠
بَلۡ
أَتَيۡنَٰهُم
بِٱلۡحَقِّ
وَإِنَّهُمۡ
لَكَٰذِبُونَ
٩٠
Bali tumewaletea Haki, na kwa yakini hao ni waongo. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ilivyo ni kwamba tumewaletea wakanushaji hawa ukweli wa yale tuliyompeleka kwayo Mtume Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie. Na kwa hakika wao ni warongo kwenye ushirikina wao na ukanushaji wao kufufuliwa.
Ilivyo ni kwamba tumewaletea wakanushaji hawa ukweli wa yale tuliyompeleka kwayo Mtume Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie. Na kwa h…