Aali-Imran 3:105 ولا تكونوا كالذين تفرقوا واختلفوا من بعد ما جاءهم البينات واولايك لهم عذاب عظيم ١٠٥
وَلَا
تَكُونُواْ
كَٱلَّذِينَ
تَفَرَّقُواْ
وَٱخۡتَلَفُواْ
مِنۢ
بَعۡدِ
مَا
جَآءَهُمُ
ٱلۡبَيِّنَٰتُۚ
وَأُوْلَٰٓئِكَ
لَهُمۡ
عَذَابٌ
عَظِيمٞ
١٠٥
Wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. Na hao ndio watakao kuwa na adhabu kubwa. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na wala msiwe, enyi Waumini, kama waliopewa vitabu, ambao ulizuka uadui kati yao na kuchukiana, wakatengana makundi na vyama mbalimbali na wakatafautiana kwenye misingi ya dini yao baada ya haki kuwa wazi kwao. Na hao wanastahili adhabu kubwa iumizayo.
Na wala msiwe, enyi Waumini, kama waliopewa vitabu, ambao ulizuka uadui kati yao na kuchukiana, wakatengana makundi na vyama mbalimbali na wakatafauti…