Al-Aaraf 7:5 فما كان دعواهم اذ جاءهم باسنا الا ان قالوا انا كنا ظالمين ٥
فَمَا
كَانَ
دَعۡوَىٰهُمۡ
إِذۡ
جَآءَهُم
بَأۡسُنَآ
إِلَّآ
أَن
قَالُوٓاْ
إِنَّا
كُنَّا
ظَٰلِمِينَ
٥
Basi hakikuwa kilio chao ilipo wafikia adhabu yetu, isipo kuwa kusema: Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Basi hawakuwa na neno la kunena ilipoteremka adhabu isipokuwa ni kukubali kwao kwamba walifanya madhambi na walikosea na kwamaba wao wanastahili kupata adhabu iliyowashukia.
Basi hawakuwa na neno la kunena ilipoteremka adhabu isipokuwa ni kukubali kwao kwamba walifanya madhambi na walikosea na kwamaba wao wanastahili kupat…