Al-Qasas 28:19 فلما ان اراد ان يبطش بالذي هو عدو لهما قال يا موسى اتريد ان تقتلني كما قتلت نفسا بالامس ان تريد الا ان تكون جبارا في الارض وما تريد ان تكون من المصلحين ١٩
فَلَمَّآ
أَنۡ
أَرَادَ
أَن
يَبۡطِشَ
بِٱلَّذِي
هُوَ
عَدُوّٞ
لَّهُمَا
قَالَ
يَٰمُوسَىٰٓ
أَتُرِيدُ
أَن
تَقۡتُلَنِي
كَمَا
قَتَلۡتَ
نَفۡسَۢا
بِٱلۡأَمۡسِۖ
إِن
تُرِيدُ
إِلَّآ
أَن
تَكُونَ
جَبَّارٗا
فِي
ٱلۡأَرۡضِ
وَمَا
تُرِيدُ
أَن
تَكُونَ
مِنَ
ٱلۡمُصۡلِحِينَ
١٩
Basi alipo taka kumshika kwa nguvu yule aliye adui wao wote wawili, akasema: Ewe Musa! Unataka kuniuwa kama ulivyo muuwa mtu jana? Wewe hutaki ila kuwa jabari katika nchi, wala hutaki kuwa miongoni mwa wenye maslaha 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Basi alipotaka Mūsā kumshika Mmisri kupambana naye, alisema, «Je, unataka kuniua mimi kama ulivyomuua mtu jana? Hutaki isipokuwa kuwa jeuri katika nchi, na hutaki kuwa ni miongoni mwa wale wanaofanya upatanishi kati ya watu.»
Basi alipotaka Mūsā kumshika Mmisri kupambana naye, alisema, «Je, unataka kuniua mimi kama ulivyomuua mtu jana? Hutaki isipokuwa kuwa jeuri katika nch…